DAR-Kaimu kocha Mkuu mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Angel Gamondi ametaja kikosi cha timu hiyo kitakachoingia kambini Novemba 10, 2025 kwa mchezo wa kirafiki kalenda ya FIFA dhidi ya Kuwait utakaochezwa Novemba 14, 2025 Cairo, Misri.
Mbwana Samatta katika kikosi hicho hajajumuishwa.Kwenye kikosi hicho cha wachezaji 23, kocha Gamondi amemrejesha mshambuliaji Kelvin John kwenye kikosi cha Taifa Stars
KIKOSI CHA TAIFA STARS
-YAKOUB SULEIMAN (SIMBA SC)
-HUSSEIN MASALANGA (SINGIDA BS)
- ZUBERI FOBA (AZAM FC)
- BAKARI MWAMNYETO (YOUNG AFRICANS)
- SHOMARI KAPOMBE (SIMBA SC)
- MOHAMED HUSSEIN (YOUNG AFRICANS)
- ALPHONCE MABULA (SHAMAKHI, AZERBAIJAN)
- MUDATHIR YAHYA (YOUNG AFRICANS)
- WILSON NANGU (SIMBA SC)
- NOVATUS DISMAS (GÖZTEPE FC, UTURUKI)
- PASCAL MSINDO (AZAM FC)
- IBRAHIM ABDULLA (YOUNG AFRICANS)
- HAJI MNOGA (SALFORD CITY, UINGEREZA)
- DICKSON JOB (YOUNG AFRICANS)
- HABIBU IDD (SINGIDA BS)
- TARRYN ALLARAKHIA (ROCHDALE AFC, UINGEREZA)
- CHARLES M’MOMBWA (FLORIANA FC, MALTA)
- SULEIMAN MWALIMU (SIMBA SC)
- FEISAL SALUM (AZAM FC)
- MORICE ABRAHAM (SIMBA SC)
- ABDUL SULEIMAN (AZAM FC)
- PAUL PETER (JKT TANZANIA)
- KELVIN JOHN (AALBORG BK, DENMARK).
