Magazeti leo Novemba 20,2025

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) ameleleza kwa Menejimenti na Watumishi ya Wizara ya Kilimo kuwa kazi na malengo yaliyopangwa yatafikiwa kwa kuendeleza pale Mbunge wa Nzega Mjini, Mhe. Hussein Bashe alipoishia ili kukuza na kuleta tija kwenye Sekta ya Kilimo nchini.
Amempongeza Waziri alyepita Mhe. Bashe, Menejimenti na Watumishi wa Wizara ya Kilimo kwa ujumla kwa kuwa mstari wa mbele katika kubuni miradi mbalimbali ambayo imekuwa ikileta tija na manufaa kwa wakulima na Taifa.

Mhe. Waziri Chongolo amesema hayo wakati akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya ofisi na alyekuwa Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mbunge wa Nzega Mjini),tarehe 18 Novemba 2025, katika Ukumbi wa Wizara, jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here