Balozi Matinyi akutana na Mfalme wa Sweden

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mheshimiwa Mobhare Matinyi, akisalimiana na Mfalme Carl XVI Gustaf wa Sweden, kwenye Kasri la Mfalme jijini Stockholm, tarehe 9 Desemba, 2025. Kushoto ni Binti Mrithi wa Ufalme, Victoria, katikati ni Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sweden, Balozi Maria Christina Lundqvist, na kulia ni Mke wa Balozi, Yvonne Matinyi. Katika mazungumzo yao mafupi, Mfalme Gustaf na Balozi Matinyi walijadiliana kuhusu uimarishaji wa uhusiano baina ya nchi hizo mbili, hususani, katika nyanja za biashara, uwekezaji na utalii. (Picha kwa hisani ya Kasri la Mfalme).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news