Polisi Morogoro wamkamata Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha SUA,Prof.Rasel Mpuya Madaha kwa tuhuma za uchochezi

MOROGORO-Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro katika kutekeleza majukumu yake ya kuzuia na kutanzua uhalifu limefanya mahojiano na Rasel Mpuya Madaha (49), Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine na mkazi wa Morogoro.

Mahojiano yamefanyika Desemba 2, 2025 na baada ya mahojiano hayo ameruhusiwa kuendelea na shughuli zake wakati uchunguzi zaidi unaendelea kufanyika.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here