Rais Dkt.Mwinyi akutana na wawekezaji kutoka Brazil

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na wawekezaji pamoja na wamiliki wa makampuni matatu kutoka Jamhuri ya Shirikisho la Brazil yaliyonesha nia ya kuwekeza Zanzibar, katika mazungumzo yaliyofanyika Ikulu, Zanzibar tarehe 16 Desemba 2025.
Makampuni hayo ni Amazon Real Hubs, linalojihusisha na usindikaji na usafirishaji wa korosho pamoja na bidhaa za matunda; West Avest Company, linalojikita katika ufugaji wa kuku na uzalishaji wa mayai; na Trade Hubs Pharmaceutical, linalotoa huduma za tiba pamoja na utengenezaji wa dawa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news