Magazeti leo Januari 1,2026

Tanzania imetajwa kushika nafasi ya tisa kati ya nchi za Afrika zenye mazingira bora ya uwekezaji kwa mwaka 2025/2026, kwa mujibu wa ripoti ya Business Insider Africa aliyoisema Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo.
Akizungumza mapema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya uwekezaji na utoaji wa Taarifa ya Uwekezaji ya Tanzania 2025, Prof. Kitila alisema hatua hiyo inaonesha imani ya wawekezaji kwa uchumi wa nchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news