Magazeti leo Januari 14,2026

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC (Yanga), wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa NMB Mapinduzi Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 5-4 dhidi ya Azam FC, katika mchezo wa fainali uliochezwa Januari 13, 2026 katika Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba.
Mchezo huo uliishia kwa sare tasa (0-0) ndani ya dakika 90 za kawaida, hali iliyomlazimu mwamuzi kuongeza dakika 30 za muda wa nyongeza ili kumpata mshindi, lakini hakuna timu iliyofanikiwa kufunga.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here