Magazeti leo Februari 10,2026

Mkutano wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), unatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa ya Februari 13, 2026.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kuwa, maandalizi kuhusu mkutano huo yamekamilika na kwamba kikao hicho kitaongozwa na Rais wa CAF, Patrice Motsepe.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here