Jeshi la Polisi lingependa kueleza kuwa, limeanza kufanya uchunguzi kuhusiana na picha mjengeo inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii wakionekana wanawake wawili wakimpiga mwanamke mmoja kwa kutumia mwiko na kumshambulia kwa maneno kuwa, kwa nini alimdhalilisha mmoja wao kupitia Facebook kuwa, anaiba mambwana za watu.
Jeshi la Polisi linatoa wito kwa yeyote anayewafahamu wanawake hao asisite kuwasilisha taarifa kwa njia anayoona inafaa na rahisi kwake ili kuweza kuwafikia na kuwakamata kwa ajili ya kuwachukulia hatua za kisheria.Imetolewa na;
Dodoma,Tanzania