Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 70.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi, Lukuvi amefariki saa 1:00 asubuhi ya Jumatano, Machi 25, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu jijini Dodoma.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kupitia taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses Kusiluka.

Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo


















.jpeg)
.jpeg)





