Waziri wa Fedha na Naibu Waziri katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Matenki 15 ya kupokea mafuta Bandari ya Dar es Salaam

Mradi huo wenye thamani ya Sh bilioni 678.6 ni kichocheo kipya cha mapinduzi ya nishati na biashara katika Ukanda wa Afrika Mashariki kwa kupunguza muda wa meli za mafuta kukaa bandarini kutoka wastani wa siku 10 hadi siku tatu pekee, hivyo kuongeza ufanisi wa utoaji huduma na mapato ya Serikali.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here