Rais Dkt.Mwinyi awasili Pemba kushiriki uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameondoka Unguja leo tarehe 02 Aprili 2026 na kuwasili Pemba kushiriki Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, katika Uwanja wa Gombani, Mkoa wa Kusini Pemba.
Alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba, amepokelewa na viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama, wakiongozwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here