Baraza la Taifa la Huduma Jumuishi za Fedha lafanya kikao cha 18

DODOMA-Baraza la Taifa la Huduma Jumuishi za Fedha, likiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, limefanya kikao chake cha 18 leo, tarehe 20 Mei 2026, katika ofisi za BoT jijini Dodoma.
Baraza hilo, lenye wajumbe 29 kutoka serikalini na sekta binafsi, limejadili mikakati mbalimbali inayolenga kuimarisha upatikanaji na matumizi ya huduma rasmi za fedha kwa wananchi, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukuza ujumuishaji wa kifedha nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here