Bodi ya Ligi yafanya mabadiliko Idara ya Habari,Yahaya Abushe ateuliwa kuwa Kaimu Afisa Habari

NA DIRAMAKINI

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imefanya mabadiliko kwenye kitengo chake cha Habari na Mawasiliano.
Karim Boimanda.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Mei 14,2026 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB),Cornel Barnabas.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Yahaya Abushe ameteuliwa kuwa Kaimu Ofisa Habari akichukua nafasi ya Karim Boimanda ambaye atapangiwa majukumu mengine na uteuzi huo unaanza mara moja.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here