Magazeti leo Mei 18,2026

Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu fainali ya CRDB Federation Cup uliopigwa kwenye dimba la KMC Complex, Dar es Salaam.
Mabao ya Simba yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 6, Anicet Oura dakika ya 26, Seleman Mwalimu dakika ya 64, pamoja na Bashir Kibaila dakika ya 78.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here