Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imefanya ziara katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa lengo la kujifunza namna ya utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya maendeleo ili kuboresha ukusanyaji wa mapato, kuinua uchumi na kuboresha upatikanaji wa huduma kwa jamii.
Ziara hiyo ilihusisha madiwani pamoja na wataalamu kutoka Manispaa ya Ilemela waliotembelea miradi mbalimbali kwa ajili ya kujifunza mbinu za usimamizi na utekelezaji.
Akizungumza kuhusu miradi hiyo, Mchumi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mataso Ndege, alisema kuwa lengo la utekelezaji wa miradi hiyo ni kuongeza mapato ya halmashauri, kupunguza utegemezi kwa serikali kuu, kuvutia uwekezaji, kupendezesha jiji pamoja na kuongeza ajira na huduma kwa wananchi.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo














.jpg)
.jpg)

