Magazeti leo Mei 30,2026

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Bw. Balandya Elikana amesema ajenda ya utunzaji na uhifadhi wa mazingira ni eneo la kipaumbele katika mipango ya maendeleo ya mkoa huo.
Bw. Elikana amesema hayo Mei 29, 2026 wakati wa mazungumzo baina na timu ya watalaamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais waliofika ofisini kwake kwa ajili ya kupokea taarifa ya maandalizi ya maadhimisho ya Siku Mazingira Duniani, 2026 katika Mkoa huo.

Elikana amesema Mkoa huo umekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha juhudi za Serikali katika masuala ya utunzaji na usimamizi wa mazingira kwa kuhimiza jamii umuhimu wa za uhifadhi wa mazingira ikiwemo upandaji miti na shughuli za usafi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here