Taarifa muhimu kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu hitilafu ya ufundi katika Mfumo wa Gridi ya Umeme ya Taifa leo Juni 27,2026

DODOMA-Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linautaarifu umma kuwa leo Juni 27, 2026, majira ya saa 01:00 usiku, kumetokea hitilafu ya kiufundi katika Mfumo wa Gridi ya Taifa ya umeme, hali iliyosababisha mikoa yote inayopata huduma kupitia gridi hiyo kukosa umeme.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here