Magazeti leo Agosti 8,2026

MBUNGE wa Jimbo la Ilemela, Mhe. William Kafiti, amezindua rasmi programu ya Kafiti School Talent, inayolenga kutambua, kukuza na kuendeleza vipaji vya wanafunzi wa shule mbalimbali katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe. Kafiti alisema kuwa vijana wenye vipaji wanahitaji kupewa fursa na mazingira bora ili viweze kuwa chachu ya mafanikio yao na maendeleo ya jamii.

Alisisitiza kuwa programu hiyo itasaidia kuwajengea wanafunzi kujiamini, kuonesha uwezo wao na kufungua milango ya mafanikio katika nyanja mbalimbali za sanaa, michezo na ubunifu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here