Kamanda Johari Said ahimiza weledi kwa askari

DAR-Kamanda wa Kikosi cha Polisi TAZARA, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi,SACP Johari S.Said amefanya ziara ya ukaguzi wa kituo cha Polisi Tazara Pugu Wilaya ya Temeke Road mkoani Dar es Salaam kwa lengo la kufatilia utendaji kazi pamoja na kuhakikisha jamii inapata huduma bora.
SACP Johari amefanya ziara hiyo ya ukaguzi leo Agosti 21,2026 pamoja na kufuatilia kwa karibu utayari wa askari.
SACP Johari amewataka askari hao kuwa weledi katika kutoa huduma bora kwa jamii. "Nidhamu na weledi katika majukumu yetu inahitajika sana,jamii imejenga imani kubwa juu yetu,hivyo ni lazima tuwajibike kwa kuwa wanachokihitaji kutoka Jeshi la Polisi,"amesema.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here