Magazeti leo Agosti 1,2026

Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS) umeendelea kupanuka na sasa unatekelezwa katika mikoa 23 ya Tanzania Bara, hatua inayoakisi mafanikio ya Serikali katika kuimarisha biashara ya mazao na bidhaa kupitia mfumo wenye uwazi, ushindani na tija.
Akizungumza jana jijini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari ulioandaliwa na Idara ya Habari – MAELEZO kuhusu utekelezaji wa shughuli za Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa mwaka wa fedha 2025/26 na mwelekeo wa mwaka 2026/27, Mkurugenzi Mtendaji wa WRRB, Bw. Asangye Bangu, amesema mfumo huo umeendelea kukua kwa kasi na kuchochea biashara ya mazao na bidhaa kutoka zao moja la korosho wakati ulipoanzishwa hadi kufikia mazao na bidhaa 18 kwa sasa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here