Taarifa muhimu kutoka Tume ya Utumishi wa Umma (PSC)

TANGAZO KWA UMMA.
Mwenyekiti, Makamishna na Menejimenti ya Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) wanapenda kuwataarifu Wananchi na Wadau wake, kuanzia tarehe 10/08/2026 tume imehamia mji wa Serikali Mtumba kutoka eneo la Chimwaga-UDOM.

Imetolewa,
Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini.
7/08/2026.


ANUANI MPYA YA TUME NI:

P.o.Box 1074,

Mtaa wa Utumishi 10

41207 Mtumba,

Dodoma.

Simu: +255 738 166 703
Barua pepe: secretary@psc.go.tz

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here