Tanzania yakabidhiwa bendera kuwa mwenyeji wa Miss World mwaka 2027

NAIBU Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma amekabidhiwa rasmi bendera ikiwa ni ishara ya kupokea kijiti cha kuandaa mashindano ya 74 ya Ulimbwende wa Dunia mwaka 2027 (Miss World 2027).
Amekabidhiwa bendera hiyo Septemba 05, 2026 nchini Vietnam wakati wa mashindano ya Miss World 2026.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here