Utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Farkwa,wadau wakutana

DODOMA-Wadau wamekutana jijini Dodoma katika kikao cha awali kuhusu utekelezaji wa ujenzi wa Bwawa la Farkwa.
Mhandisi James Mallya wa Wizara ya Maji ameongoza kikao hicho ambacho kimewakutanisha wadau muhimu katika utekelezaji wa mradi ambao ni Wizara ya Maji kwa niaba ya Serikali, Mkandarasi Kampuni ya China Jiangxi International na Mtaalamu Mshauri Ms Dar Al Handasah.
Lengo la kuwakutanisha wadau imekuwa ni kufahamishana na kutambua masuala ya muhimu ya mradi ikiwemo kufahamiana baina ya Mkandarasi, Mtaalam Mshauri na Mwajiri kupitia mpango wa utekelezaji wa mradi kutoka Kwa Mkandarasi, wasilisho la timu ya utekelezaji na mpango wa uagizaji vitendea kazi muhimu kulingana na mkataba.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here