Orodha ya taasisi,wizara, mashirika, idara, wadau waliotoa salamu za Miaka 58 ya Muungano kwa Watanzania

Muungano wa nchi uhuru ya Tanganyika na Zanzibar uliasisiwa Aprili 26, 1964, chini ya waasisi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Hayati Abeid Amani Karume Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, waliiasisi Muungano huu wa kipeekee duniani kwa kuzingatia nadharia za kiundugu na kijamaa kati ya Watanganyika na Wazanzibar, hii ni katika kuleta umoja, amani na upendo.

Muungano wetu ni nguzo pekee katika kulinda amani na umoja miongoni mwetu.ni alama ya kiupekee kama taifa.Daima tutauenzi na kuhudumisha milele na milele kwa masilahi mapana ya taifa. Uongozi wa DIRAMAKINI BLOG unawatakia Watanzania wote heri ya Miaka 58 ya Muungano.






Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news