Waziri Dkt.Nchemba:Huu ni upotoshaji, Watanzania puuzeni,tunaendelea na juhudi kubwa

NA DIRAMAKINI

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amewataka Watanzania kuendelea kupuuza taarifa za upotoshaji zinazotolewa na watu ambao hawana nia njema na Serikali kupitia mitandao ya kijamii.

Mheshimiwa Waziri ameyasema hayo kupitia taarifa fupi aliyoitoa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii leo Mei 7,2022.

"Upotoshaji, nawaomba watanzania mpuuze upotoshaji huu.
"Tunaendelea kuchukua hatua za kiuchumi kupambana na upandaji wa bei kwenye vitu mbalimbali nchini,"ameeleza Mheshimiwa Waziri Dkt.Nchemba.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news