Dogo yupo na 'Bi' Mkubwa wanavinjari maeneo ya shule, wanafurahia matunda ya kodi

NA DIRAMAKINI

HALMASHAURI za Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji ni Serikali kamili katika maeneo yao. Sifa mojawapo ya Serikali yoyote ni kwamba inakuwa na uwezo wa kupata na kutumia fedha. 

Serikali hupata fedha kwa kuwatoza raia wake kodi, ushuru na ada mbalimbali. Hali kadhalika, Halmashauri za Miji na Wilaya zina madaraka ya kutoza na kukusanya kodi, ushuru na ada mbalimbali kwa jinsi sheria za nchi zinavyoruhusu. 

Moja wapo ya manufaa ya kila mmoja kulipa mapato ya halmashauri kwa wakati ni pamoja na kusaidia uboreshaji na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo,jifunze jambo hapa;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news