Kumekucha Missenyi, wananchi wajiandaa kuupokea mradi wa kipekee wa maji (Kyaka-Bunazi)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Mradi wa Maji wa Kyaka-Bunazi ambao utanufaisha zaidi ya wananchi 65,000. Huu ni mradi wa kwanza wa aina yake kutumia chanzo cha maji cha Mto Kagera.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news