Barrick yashiriki Maadhimisho ya Siku ya Canada

NA DIRAMAKINI

KAMPUNI ya Barrick nchini Tanzania imekuwa mmoja wa wadau wakuu waliofanikisha maadhimisho ya Siku ya Canada, ambapo baadhi ya wafanyakazi wake walishiriki katika hafla iliyofanyika nyumbani kwa Balozi wa Canada nchini Masaki jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Canada nchini Mh. Pamela O'Donnell (wa pili kutoka kushoto) akigonga glasi na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Barrick wakati wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Canada iliyofanyika nyumbani kwa balozi jijini Dar es Salaam. 
Wafanyakazi wa Barrick wakifurahi pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi maalum,Dk.Doroth Gwajima (aliyevaa kofia) wakati wa hafla hiyo. Barrick ni mmoja wa wadau waliofanikisha hafla hiyo.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Barrick waliohudhuria katika hafla hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Canada nchini,Mh. Pamela O'Donnell.
Wafanyakazi wa Barrick wakifurahi na wageni waalikwa wakati wa hafla hiyo.
Wafanyakazi wa Barrick wakifurahi na wageni waalikwa wakati wa hafla hiyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news