KAMATI YA USEMI YAPONGEZA UFADHILI MASOMO YA ELIMU YA JUU KWA VIJANA WANAOTOKA FAMILIA MASKINI

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo ameipongeza Serikali kwa kutoa ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kwa vijana wanaotoka katika familia maskini ambazo ni walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini nchini ambao unaroatibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news