Spika Dkt.Tulia ateta na wabunge kutoka Zimbabwe


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amefanya mazungumzo na Wabunge kutoka Bunge la Zimbabwe ambao pia ni Wajumbe wa Kamati ya Afya na Huduma kwa Watoto wakiongozwa na Kaimu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kanali Mstaafu Dkt. Joshua Murire katika kikao kilichofanyika Jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news