Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 23,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.09 na kuuzwa kwa shilingi 2.26 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 9.14 na kuuzwa kwa shilingi 9.68.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 23, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2599.73 na kuuzwa kwa shilingi 2626.65 huku Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.16 na kuuzwa kwa shilingi 2.19.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2295.56 na kuuzwa kwa shilingi 2318.52 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7426.85 na kuuzwa kwa shilingi 7490.94.

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 28.40 na kuuzwa kwa shilingi 28.68 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.05 na kuuzwa kwa shilingi 19.21.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 625.00 na kuuzwa kwa shilingi 631.19 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.31 na kuuzwa kwa shilingi 148.61.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2267.56 na kuuzwa kwa shilingi 2290.46.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.58 na kuuzwa kwa shilingi 0.60 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.32 na kuuzwa kwa shilingi 16.48 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 325.13 na kuuzwa kwa shilingi 328.17.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 208.63 na kuuzwa kwa shilingi 210.66 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 130.91 na kuuzwa kwa shilingi 132.18.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 23rd, 2022 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 625.0005 631.199 628.0997 23-Sep-22
2 ATS 147.3064 148.6116 147.959 23-Sep-22
3 AUD 1527.9276 1543.6706 1535.7991 23-Sep-22
4 BEF 50.2477 50.6924 50.47 23-Sep-22
5 BIF 2.1979 2.2144 2.2062 23-Sep-22
6 BWP 174.6924 177.8305 176.2615 23-Sep-22
7 CAD 1708.3905 1724.9609 1716.6757 23-Sep-22
8 CHF 2346.9628 2369.4635 2358.2132 23-Sep-22
9 CNY 325.1323 328.1745 326.6534 23-Sep-22
10 CUC 38.3253 43.5648 40.9451 23-Sep-22
11 DEM 919.8078 1045.5558 982.6818 23-Sep-22
12 DKK 304.9652 307.9739 306.4695 23-Sep-22
13 DZD 16.2134 16.2229 16.2181 23-Sep-22
14 ESP 12.1826 12.2901 12.2363 23-Sep-22
15 EUR 2267.5585 2290.4659 2279.0122 23-Sep-22
16 FIM 340.9119 343.9328 342.4224 23-Sep-22
17 FRF 309.0129 311.7464 310.3796 23-Sep-22
18 GBP 2599.7266 2626.6513 2613.189 23-Sep-22
19 HKD 292.4584 295.3717 293.915 23-Sep-22
20 INR 28.4027 28.6796 28.5412 23-Sep-22
21 ITL 1.0469 1.0561 1.0515 23-Sep-22
22 JPY 16.3165 16.4773 16.3969 23-Sep-22
23 KES 19.0503 19.2089 19.1296 23-Sep-22
24 KRW 1.6392 1.6551 1.6472 23-Sep-22
25 KWD 7426.8477 7490.9373 7458.8925 23-Sep-22
26 MWK 2.0866 2.2573 2.172 23-Sep-22
27 MYR 502.8619 507.4458 505.1538 23-Sep-22
28 MZM 35.3708 35.6695 35.5202 23-Sep-22
29 NAD 97.5209 98.3192 97.92 23-Sep-22
30 NLG 919.8078 927.9648 923.8863 23-Sep-22
31 NOK 221.5988 223.696 222.6474 23-Sep-22
32 NZD 1347.2667 1361.6668 1354.4668 23-Sep-22
33 PKR 9.143 9.6786 9.4108 23-Sep-22
34 QAR 714.2106 713.6088 713.9097 23-Sep-22
35 RWF 2.1656 2.1966 2.1811 23-Sep-22
36 SAR 610.279 616.0542 613.1666 23-Sep-22
37 SDR 2961.4158 2991.0299 2976.2228 23-Sep-22
38 SEK 208.6289 210.6577 209.6433 23-Sep-22
39 SGD 1621.9631 1637.1416 1629.5524 23-Sep-22
40 TRY 125.0232 126.2047 125.614 23-Sep-22
41 UGX 0.5776 0.6049 0.5912 23-Sep-22
42 USD 2295.5644 2318.52 2307.0422 23-Sep-22
43 GOLD 3844152.0713 3885607.668 3864879.8696 23-Sep-22
44 ZAR 130.9081 132.1825 131.5453 23-Sep-22
45 ZMK 145.447 147.912 146.6795 23-Sep-22
46 ZWD 0.4296 0.4383 0.4339 23-Sep-22

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news