Muonekano wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato

Muonekano wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato Mkoani Geita tarehe 15 Oktoba, 2022. Hivi karibuni Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Geita ilipongeza uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuamua kujenga hospitali hiyo iliyopo Chato na wameshauri jitihada mbalimbali za kuitangaza hospitali hiyo zifanyike ili wananchi waweze kuifahamu na kwenda kupata huduma za matibabu hospitalini hapo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news