Waziri Mkuu awasili Korea Kusini kwa ziara ya kikazi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakipokea maua kutoka kwa watoto Neviah Mwamlima (kushoto) na Bradley Massawe wakati walipowasili kwenye hoteli ya Lotte iliyopo Seoul nchini Korea ya Kusini, Oktoba 24, 2022 kuanza ziara ya kikazi nchini humo. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini humo, Mhe. Togolani Mavura. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Korea ya Kusini, Mhe. Togolani Mavura wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Incheon nchini Korea ya Kusini Oktoba 24, 2022 kwa ziara ya kikazi nchini humo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim. Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa wakisalimiana na baadhi ya watanzania waishio nchini Korea ya Kusini waakati walipowasili kwenye hoteli ya Lotte iliyopo Seoul nchini humo Oktoba 24, 2022 kwa ziara ya kikazi . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news