Rais Dkt.Mwinyi ateta na Balozi wa Sweden nchini Tanzania

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe. Charlota Ozaki Macias, alipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika Februari 13, 2023 katika ukumbi wa Ikulu.(Picha na Ikulu).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe. Charlota Ozaki Macias (kulia kwa Rais) akiwa na ujumbe wake walipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe. Charlota Ozaki Macias, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news