UFUNGUZI WA TAMASHA LA BULABO MWANZA


Vikundi vya Ngoma vya Buyegu, Basesilia, Matwi, na Kwaya ya Utumishi wa Umma kutoka Mwanza wakitumbuiza katika Hafla ya Ufunguzi wa Tamasha la Bulabo Mwanza unaofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Juni 13, 2023 katika Viwanja vya Kisesa Wilaya ya Magu.
Vikundi vya Ngoma vya Buyegu, Basesilia, Matwi, na Kwaya ya Utumishi wa Umma kutoka Mwanza wakitumbuiza katika Hafla ya Ufunguzi wa Tamasha la Bulabo Mwanza unaofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Juni 13, 2023 katika Viwanja vya Kisesa Wilaya ya Magu.
Vikundi vya Ngoma vya Buyegu, Basesilia, Matwi, na Kwaya ya Utumishi wa Umma kutoka Mwanza wakitumbuiza katika Hafla ya Ufunguzi wa Tamasha la Bulabo Mwanza unaofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Juni 13, 2023 katika Viwanja vya Kisesa Wilaya ya Magu.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, Viongozi mbalimbali, Machifu na wananchi wamehudhuria ufunguzi huo.Tamasha hilo litaendelea hadi Juni 17 kwa burudani ya Ngoma mbalimbali, elimu ya Ukatili wa Kijinsia na maenesho ya wajasiriamali.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news