Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akitoka kukagua mradi wa ujenzi wa jengo la utawala la Shule ya Sekondari Inyala Halmashauri ya Wilaya ya Geita lililofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Mkoa wa Geita.



Tags
Habari
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)
Ofisi ya Rais-Utumishi
Picha
Picha Chaguo la Mhariri
Ruzuku TASAF
TASAF Tanzania