Prof.Shemdoe awasili mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi

ARUSHA-Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewasili mkoani Arusha kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi inayolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma pamoja na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI.
Kabla ya kuanza ziara hiyo ya siku mbili, Prof. Shemdoe mapema leo amefanya kikao kazi na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Makala.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news