TRC yaendelea kutoa huduma na elimu katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma

DODOMA-Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaungana na Mashirika mengine ya Umma, kushiriki Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park, Dodoma kuanzia Juni 16 hadi 23, 2026.
Kupitia maadhimisho haya yenye kaulimbiu isemayo “Kuchochea Uwajibikaji Jumuishi kwa Huduma Endelevu,” TRC inaendelea kuonesha dhamira yake ya kutoa huduma bora, salama na endelevu za usafiri wa reli, huku ikiwa karibu zaidi na wananchi kwa kutoa elimu kuhusu huduma zake, miradi ya mbalimbali ya ujenzi wa reli na mchango wa sekta ndogo ya reli katika kukuza uchumi wa Taifa.
TRC inakukaribisha ewe mwananchi katika banda lake usikie bidhaa na huduma ilizoleta katika WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026!.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here