Magazeti leo Agosti 28,2026

Wafanyabiashara wa Tanzania wanaoagiza bidhaa kutoka China sasa wanaweza kuwalipa wazabuni wao moja kwa moja kwa kutumia Shilingi ya Tanzania, bila kulazimika kwanza kubadilisha fedha hizo kuwa Dola za Marekani kabla ya kulipwa kwa Yuan ya China.
Huduma hiyo mpya ilikuwa miongoni mwa mada kuu katika Jukwaa la Biashara Tanzania na China lililoandaliwa na Stanbic Bank Tanzania katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

Jukwaa hilo liliwakutanisha wafanyabiashara wa Tanzania, wawakilishi wa biashara kutoka China pamoja na taasisi mbalimbali za serikali na biashara kujadili fursa za kuimarisha biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China.










Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here